Tuesday 29 April 2008





RONALDO DE LIMA MATATANI NA POLISI KWAO BRAZIL!!!!









Polisi wa Rio de Janeiro, Brazil wamesema kuwa wanachunguza tuhuma kuwa mchezaji bora wa Brazil na dunia, Ronaldo de Lima aliwatishia wasenge watatu katika gesti mojawapo mjini humo baada ya kuwabeba toka kwenye klabu moja ya usiku ya matajiri akidhani ni mijike!!!




Alipofika chumbani akiikuta ni midume!!!

Ronaldo akashtuka na akaamua kuwapa Dola mia 5 kila mmoja lakini mmoja kati ya misenge hiyo mitatu aligoma na kudai Dola elfu 29,000!!!




KINDUMBWEDUMBWE LEO!!!!


UEFA CHAMPIONS LEAGUE!!!

MAN U vs BARCELONA







No comments:

Powered By Blogger