ENGLAND WAISHINDILIA KAZAKHSTAN 5-1
a dakika ya 64 Kazakhstan walijifunga wenyewe kufanya gemu iwe 2-0 lakini kosa kubwa la Beki Ashley Cole wa England liliwapa zawadi Kazakhstan kupata bao.
ENGLAND WAISHINDILIA KAZAKHSTAN 5-1
a dakika ya 64 Kazakhstan walijifunga wenyewe kufanya gemu iwe 2-0 lakini kosa kubwa la Beki Ashley Cole wa England liliwapa zawadi Kazakhstan kupata bao.
VIWANJA MBALIMBALI DUNIANI LEO KUTIMUA VUMBI KUTAFUTA WATAKAOINGIA FAINALI KOMBE LA DUNIA AFRIKA KUSINI 2010
BOSI WA HULL CITY, PHIL BROWN, NDIE MENEJA BORA SEPTEMBA!!

NAHODHA WA ENGLAND JOHN TERRY HUENDA ASICHEZE JUMAMOSI!
asicheze mechi ya Jumamosi dhidi ya Kazakhstan ya Kundi la 6 la Nchi za Ulaya ya mitoano ya Kombe la Dunia kuwania nafasi za kuingia Fainali zitazochezwa Afrika Kusini mwaka 2010 kwa sababu anaumwa mgongo.
Nae Mchezaji mwenzake Rio Ferdinand kwenye Klabu ya Manchester United, Darren Fletcher ameteuliwa kuwa Nahodha wa Timu ya Taifa ya Scotland kwenye mechi ya Jumamosi dhidi ya Norway ya mitoano ya kuwania nafasi za kuingia Fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini mwaka 2010.

KWA MAPENZI YA EVERTON, AMPACHIKA BINTI YAKE KICHANGA JINA EVA-TONI-ANN: ukilitamka unamaanisha wewe ni shabiki wa kutupwa wa EVERTON!!!
MITOANO KOMBE LA DUNIA: KUNDI LA NCHI ZA MAREKANI KUSINI NA RATIBA YAO YA WIKIENDI HIITimu za Taifa za Nchi za Marekani Kusini zinaingia tena dimbani kuanzia Jumamosi hii katika mapambano ya Kundi lao ambalo lina Nchi 10. Mpaka sasa kila Nchi ishacheza mechi 8 na ikifika Jumatano ya tarehe 15 Oktoba 2008 watakuwa wameshavuka nusu ya mechi wanazotakiwa kucheza na hivyo kuleta picha kidogo nani anaweza akaingia FAINALI huko AFRIKA KUSINI mwaka 2010.
Baada ya mechi 8 kwa kila timu, Paraguay yuko kileleni akiwa na pointi 17 akifuatiwa na Brazil mwenye pointi 13 sawa na Argentina na Chile lakini Brazil yuko mbele kwa kufunga magoli mengi. Uruguay ana pointi 12, Colombia 10, Ecuador 9, Venezuela na Peru wana 7 kila mmoja na mkiani yuko Bolivia mwenye 5.
Timu nne za juu za Kundi hili zitaingia moja kwa moja FAINALI huko AFRiKA KUSINI mwaka 2010.

Michael Owen kaachwa tena Timu ya Taifa ya England!!
KOMBE LA DUNIA: MECHI ZA MAKUNDI YA ULAYA 