Friday 25 July 2008


SULLEY MUNTARI KUTUA INTER MILAN?
Dau la Pauni milioni 12.7 liko njiani kumtoa Sulley Muntari wa Ghana mwenye miaka 23 kutoka Klabu ya Portsmouth kwenda Klabu ya Italia Inter Milan.
Taarifa zinasema baada ya Meneja wa Inter, Jose Mourinho, kumkosa Frank Lampard imebidi atafute kiungo wa haraka na karata imemwangukia Muntari ambae alisajiliwa na Portsmouth kutoka Klabu ya Italia Udinese mwezi Mei, 2007.

No comments:

Powered By Blogger