
Wachezaji wengine wa Tottenham wanaohusishwa kujiunga na Sunderland ni Steed Malbranque, Younes Kaboul na Pascal Chimbonda.
Nao West Ham wamemsajili mchezaji wa Kimataifa wa Uswisi Valon Behrami kutoka Lazio ya Italia.
Behrami, miaka 23, hucheza kama beki wa kulia au kiungo, amesaini mkataba wa miaka mitano na aliichezea Uswisi mechi zake zote za EURO 2008.
No comments:
Post a Comment