Tuesday 6 May 2008


CHELSEA 2
NEWCASTLE 0!
UBINGWA KUAMULIWA JUMAPILI!
NI MAN U
AU
CHELSEA?
Jana Chelsea waliwafunga Newcastle bao 2-0 na hivyo kuweka uhai matumaini yao kuwa wanaweza kutwaa ubingwa Jumapili, 11 MEI 2008 iwapo MAN U watateleza [wakitoka droo au wakifungwa] na huku Chelsea akishinda mechi yake na Bolton ambao nafasi yao kushuka daraja ni finyu ingawa kimahesabu wanaweza kushuka.
MAN U ANAMALIZA LIGI AKICHEZA UGENINI NYUMBANI KWA WIGAN TIMU AMBAYO JUZI WALIPOSHINDA 2-0 ZIDI YA ASTON VILLA WALIJIHAKIKISHIA KUBAKI LIGI KUU!
MAN U na WIGAN zimeshawahi kukutana mara 8 kabla huku MAN U AKISHINDA MECHI ZOTE KWA JUMLA YA MABAO 20-3!!!
******************************************************************************************************************************************
NANI ANASHUKA DARAJA?
MSIMAMO WA TIMU ZA CHINI NI:
15. SUNDERLAND POINTI 39.................. AMEPONA!!!
16. BOLTON POINTI 36........................... INAWEZAKANA KUSHUKA INGAWA...!!!
17. FULHAM POINTI 33........................... KIMBEMBE CHA KUSHUKA KIPO!!!
18. READING6 POINTI 33....................... KIMBEMBE CHA KUSHUKA KIPO!!!
19. BIRMINGHAM POINTI 32................ KIMBEMBE CHA KUSHUKA KIPO!!!
20. DERBY POINTI 11.............................. AMESHUKA DARAJA!!!!!
MECHI ZAO ZILIZOBAKI:
CHELSEA VS BOLTON
PORTSMOUTH VS FULHAM
DERBY VS READING
BIRMINGHAM VS BLACKBURN
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

No comments:

Powered By Blogger