Thursday 8 May 2008


EL CLASICO DERBY

MABINGWA WAPYA LA LIGA YA SPAIN REAL MADRID JANA WALIWABAMIZA WAPINZANI WAO WA JADI BARCELONA 4 - 1!!!!!!


REAL washeherekea kuchukua ubingwa wa Spain kwa kuitandika BARCELONA 4-1 hapo jana katika uwanja wao wa nyumbani BERNABEU.

Raul alipachika bao la kwanza, Arjen Robben la pili, Gonzalo Higuan la tatu na Ruud van Nistelrooy la nne kwa njia ya penalti. Bao la Barcelona lilifungwa na Thierry Henry.


No comments:

Powered By Blogger