Wednesday 14 May 2008




BAADA YA MAN UNITED KUTWAA UBINGWA UINGEREZA, SIR ALEX FERGUSON ASHINDA TUZO YA MENEJA BORA WA MSIMU!






=====================================================================================
TIMU IPI ITAKUWA YA TATU KUPANDA DARAJA KUINGIA LIGI KUU?
Wakati WEST BROMWICH ALBION na STOKE CITY zimeshapanda daraja na kuingia LIGI KUU UINGEREZA kuchukua nafasi ya READING, BIRMINGHAM na DERBY zilizoshuka daraja, timu ya tatu itakayopanda daraja itajulikana baada ya kumalizika mtoano maalum kupata timu hiyo ambao kwa sasa unaendelea.
Katika mechi za kwanza za mtoano huo, HULL CITY 2 WATFORD 0 [Mechi ya marudiano leo usiku].
Timu ya BRISTOL CITY meshaingia fainali baada ya kuitoa CRYSTAL PALACE jumla ya bao 4-2.
MSHINDI KATI YA HULL CITY na WATFORD atapambana FAINALI NA BRISTOL CITY ili kupata timu ya tatu itakayopanda daraja.
*******************************************************************************************









No comments:

Powered By Blogger