Thursday 15 May 2008




Portsmouth v Cardiff
FA CUP FINAL


UWANJA: Wembley Stadium


SIKU: JUMAMOSI, 17 May SAA: 11 JIONI [saa za bongo]


Fainali ya FA CUP ni Jumamosi hii ambapo inazikutanisha timu ambazo si vigogo. Portsmouth hivi juzi ilimaliza LIGI KUU UINGEREZA ikiwa nafasi ya 8 wakati CARDIFF walimaliza nafasi ya 12 katika ligi ya chini ya LIGI KUU iitwayo COCA COLA CHAMPIONSHIP.


XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX




RIO FERDINAND ASAINI MKATABA MPYA MAN UNITED.





Mchezaji ambae ni nguzo ya safu ya ulinzi ya MABINGWA WA UINGEREZA, MAN U, Rio Ferdinand [miaka 29], ametia sahihi mkataba mpya wa miaka 5.


Sambamba na Rio, Wes Brown, mlinzi alieng'ara na aliemudu vyema nafasi ya nahodha Garry Neville ambae alikuwa majeruhi karibu msimu wote, nae ametia saini mkataba.


xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx


No comments:

Powered By Blogger