Sunday 6 December 2009

Ancelotti: "Kipigo hakitubabaishi!"
Licha ya kubamizwa 2-1 na Manchester City hapo jana kwenye mechi ya LIGI KUU England, Meneja wa Chelsea Carlo Ancelotti amedai kipigo hicho hakiwasumbui kwani bado wanaongoza Ligi kwa pointi 2 mbele ya Timu ya pili Mabingwa Watetezi Manchester United.
Ancelotti amesema: "Kwa sasa tunafanya vizuri tu lakini jana ilikuwa ngumu kwani Man City walicheza vizuri mno!!"
Hata hivyo, Carlo Ancelotti alilamika kuhusu Refa Howard Webb kwa kulikubali goli la kusawazisha la Man City baada ya Mchezaji wa Man City Micah Richards kuunekana akiunawa mpira kabla ya Adebayor kufunga.
MSIMAMO LIGI KUU England:
1 Chelsea pointi 36
2 Man Utd pointi 34
3 Arsenal pointi 28
4 Tottenham pointi 26
5 Aston Villa pointi 26
6 Man City pointi 25
7 Liverpool pointi 24
8 Birmingham pointi 21
9 Sunderland pointi 20
10 Stoke pointi 20
11 Fulham pointi 19
12 Blackburn pointi 18
13 Burnley pointi 17
14 Wigan pointi 17
15 Hull pointi 16
16 Everton pointi 15
17 West Ham pointi 14
18 Wolverhampton pointi 13
19 Bolton pointi 12
20 Portsmouth pointi 10
RATIBA WIKI IJAYO:
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
JUMANNE, 8 Desemba 2009
Atletico Madrid v FC Porto
Besiktas v CSKA Moscow
Chelsea v Apoel Nicosia
FC Zurich v AC Milan
Juventus v Bayern Munich
Maccabi Haifa v Bordeaux
Marseille v Real Madrid
Wolfsburg v Man Utd
JUMATANO, 9 Desemba 2009
Dynamo Kiev v Barcelona
Inter Milan v Rubin Kazan
Liverpool v Fiorentina
Lyon v Debrecen
Olympiakos v Arsenal
Sevilla v Rangers
Standard Liege v AZ Alkmaar
VfB Stuttgart v Unirea Urziceni
LIGI KUU ENGLAND:
JUMAMOSI, 12 Desemba 2009
Birmingham v West Ham
Bolton v Man City
Burnley v Fulham
Chelsea v Everton
Hull v Blackburn
Man Utd v Aston Villa
Stoke v Wigan
Sunderland v Portsmouth
Tottenham v Wolverhampton
JUMAPILI, 13 Desemba 2009
Liverpool v Arsenal

No comments:

Powered By Blogger