Tuesday 24 March 2009

MECHI ZA KIMATAIFA ZENYE MVUTO ZA KOMBE LA DUNIA 2010 JUMAMOSI NA JUMATANO!!!

Wikiendi hii na Jumatano ijayo ni siku za mechi za Kimataifa kuwania nafasi za kuingia Fainali Kombe la Dunia 2010 huko Afrika Kusini.
Hivyo LIGI KUU England itasimama kupisha mechi hizo na ligi hii itarudi tena Jumamosi tarehe 4 Aprili 2009.
Timu ya Taifa ya England Jumamosi hii itacheza mechi ya kirafiki na Timu ya Slovakia Uwanjani Wembley na Jumatano hapohapo Wembley itachuana na Ukraine kwenye michujo ya Kombe la Dunia.
Baadhi ya mechi zenye mvuto za vigogo wa Ulaya ni:
Jumamosi, Machi 28
Holland v Scotland
Lithuania v France
Germany v Liechtenstein
Montenegro v Italy
Portugal v Sweden
Spain v Turkey
Jumatano, Aprili 1
Denmark v Albania
England v Ukraine
France v Lithuania
Holland v Macedonia
Turkey v Spain
Wales v Germany
HUKO MAREKANI KUSINI, Mechi za vigogo Brazil na Argentina:
Jumamosi, Machi 28
Argentina v Venezuela
Ecuador v Brazil
Jumatano, Aprili 1
Bolivia v Argentina
Brazil v Peru
NAYO LIGU KUU England itaibuka tena tarehe 4 Aprili 2009 kwa mechi zifuatazo:
Jumamosi, Aprili 4
Arsenal v Man City
Blackburn v Tottenham
Bolton v Middlesbrough
Fulham v Liverpool
Hull v Portsmouth
Newcastle v Chelsea
West Brom v Stoke
West Ham v Sunderland
Jumapili, April 5
Everton v Wigan
Man U v Aston Villa

No comments:

Powered By Blogger