Tuesday 23 December 2008

LIGI KUU ENGLAND: Nahodha John Terry ala NYEKUNDU!

Everton 0 Chelsea 0

Nahodha wa Chelsea John Terry alitandikwa KADI NYEKUNDU na Refa Phil Dowd baada ya kumchezea rafu mbaya Winga wa Everton Leon Osman kwenye dakika ya 36 ya mechi lakini Chelsea wakajikongoja na kupata suluhu.

No comments:

Powered By Blogger