Sunday 29 June 2008

SPAIN BINGWA EURO 2008

tangu 1964 hawajachukua kombe lolote!

Torres aizima Ujerumani!

Mshambuliaji wa Liverpool Fernando Torres alitumia kosa la Philipp Lahm, shujaa wa Ujerumani kwenye Nusu Fainali na Uturuki, kufunga bao la ushindi na kuwapa Spain nchi ambayo haijashinda kombe lolote kwa miaka 44, Kombe la EURO 2008!

No comments:

Powered By Blogger