Thursday 12 February 2009

MECHI ZIJAZO

Wikiendi hii kutakuwa na mechi moja tu ya LIGI KUU England na zilizobaki zote ni za Raundi ya 5 kugombea Kombe la FA isipokuwa Jumatatu kuna mechi ya marudiano ya Raundi ya 4 ya Kombe la FA baada ya Cardiff kutoka sare na Arsenal kwenye mechi ya kwanza.
Jumatano Mabingwa Manchester United wanacheza ile mechi yao ya kiporo ya LIGI KUU kwa kupambana na Fulham hapo kwao Old Trafford.
Mechi hii ilikuwa ichezwe mwaka jana lakini ikaahirishwa kwa kuwa Man U alikuwa akicheza UEFA Super Cup.
RATIBA KAMILI: [Saa ni Bongo Taimu]
Jumamosi, 14 Februari 2009
LIGI KUU England
Portsmouth v Man City [saa 12 jioni]
FA Cup
Swansea v Fulham [saa 9.45 mchana]
[saa 12 jioni]
Blackburn v Coventry
Sheffield United v Hull City
West Ham v Middlesbrough
[saa 2.30 usiku]
Watford v Chelsea
Jumapili, 15 Februari 2009
FA Cup
[saa 11.30 jioni]
Everton v Aston Villa
[saa 1.30 usiku]
Derby v Man United
Jumatatu, 16 Februari 2009
[saa 4.45 usiku]
Arsenal v Cardiff
Jumatano, 18 Februari 2009
LIGI KUU England
Man United v Fulham

No comments:

Powered By Blogger