Sunday 31 August 2008

Chelsea 1-1 Tottenham
wabanwa na Spurs nyumbani Stamford Bridge!!!
Tottenham wamepata pointi yao ya kwanza ya LIGI KUU baada ya kufungwa katika mechi zao mbili za kwanza kwa kulazimisha sare ya 1-1 walipocheza ugenini kwenye Uwanja wa Stamford Bridge nyumbani kwa Chelsea.
Chelsea wlikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 28 lililofungwa na Belletti baada ya kona.
Spurs wakasawazisha kwenye dakika za majeruhi za kipindi cha kwanza wakati Darren Bent alipopachika bao.

No comments:

Powered By Blogger