Wednesday 3 September 2008


MANCHESTER UNITED WATEUA MSAIDIZI WA FERGUSON

Tangu aondoke Carlos Queiroz kwenda kuwa Meneja wa Ureno, nafasi ya Meneja Msaidizi ilikuwa tupu na leo klabu imetangaza pengo hilo linazibwa na Mchezaji wa zamani na mtumishi wa siku nyingi hapo klabuni Mike Phelan [pichani na Ferguson].

Kabla ya uteuzi huu, Mike Phelan alikuwa na wadhifa wa Mwalimu wa kikosi cha kwanza cha Man U.

Sasa nafasi ya Mwalimu wa kikosi cha kwanza amepewa Mholanzi Rene Meulensteen ambae alikuwa na wadhifa wa mwendelezaji wa ufundi na vipaji hapo Man U.

No comments:

Powered By Blogger