Tuesday 10 August 2010

WIKI YA MECHI ZA KIMATAIFA: Klabu zaombea Wachezaji wasiumie!!
Klabu kubwa za Ulaya zinaomba Mungu Wachezaji wao Mastaa hawaumizwa katika Mechi za Kimataifa zitakazochezwa leo Jumanne na kesho Jumatano Duniani kote kwa mujibu wa Kalenda ya FIFA ya Mechi za Kimataifa.
Mabingwa wapya wa Dunia, Spain, wanasafiri hadi Mexico kucheza na Nchi hiyo huku wakiwa na Wachezaji wengi wa Barcelona licha ya Klabu hiyo kuomba wasichukuliwe wote.
Jumamosi ijayo Barcelona itacheza na Sevilla kugombea Super Cup na Kikosi cha Spain kitarudi kwao Ijumaa kutoka Mexico.
England wapo Jijini London, Uwanja wa Wembley, na Jumatano wanacheza na Hungary katika Mechi ambayo England wataomba matokeo mazuri ili kufuta huzuni ya kubwagwa nje ya Kombe la Dunia huko Afrika Kusini.
Argentina, bila Kocha Diego Maradona alienyimwa Mkataba mpya, watakuwa Uwanja mpya wa Aviva huko Dublin kucheza na Ireland.
Timu iliyopatwa na aibu na kashfa, France, itasafiri hadi Norway ikiwa chini ya Kocha mpya, Laurent Blanc, na Kikosi ambacho hakina hata Mchezaji mmoja kati ya 23 waliokuwa kule Afrika Kusini kwenye Fainali za Kombe la Dunia.
Kocha mpya wa Italy, Cesare Prandelli, ataiongoza Nchi yake kwenye Mechi yake ya kwanza dhidi ya Ivory Coast hapo Jumanne.
Ivory Coast nao wana Kocha mpya, Gerard Gili kutoka France, badala ya Sven-Goran Eriksson aliemaliza Mkataba.
MECHI ZA KIRAFIKI ZA KIMATAIFA:
Jumanne, Agosti 10
USA v Brazil
Italy v Ivory Coast
Jumatano, Agost 11
Israel v Gambia
South Korea v Nigeria
China PR v Bahrain
Mali v Guinea
Russia v Bulgaria
Finland v Belgium
Moldova v Georgia
Cyprus v Andorra
Malta v FYR Macedonia
Sweden v Scotland
Ukraine v Netherlands
Czech Republic v Latvia
Turkey v Romania
Albania v Uzbekistan
Austria v Switzerland
Denmark v Germany
Montenegro v Northern Ireland
Poland v Cameroon
Serbia v Greece
Slovakia v Croatia
South Africa v Ghana
Rep of Ireland v Argentina
Slovenia v Australia
Wales v Luxembourg
England v Hungary
Norway v France
Iceland v Liechtenstein
Mexico v Spain
Angola v Uruguay
Paraguay v Costa

No comments:

Powered By Blogger