Thursday 18 December 2008

KOMBE LA DUNIA LA KLABU: MAN U watinga Fainali!!!!

Mabingwa wa Ulaya Manchester United leo wamewachakaza wenyeji wa mashindano Gamba Osaka ya Japan ambao pia ni Mabingwa wa Asia kwa mabao 5-3 na hivyo kuingia Fainali ya Kombe la Dunia ya Klabu na sasa watavaana na Liga de Quito ya Ecuador siku ya Jumapili tarehe 21.
Timu zilikuwa:

Gamba Osaka: Fujigaya, Kaji, Nakazawa, Yamaguchi, Endo, Michihiro Yasuda, Myojin, Hashimoto, Bando (Terada 85), Lucas, Yamazaki.
Akiba hawakucheza: Matsuyo, Shimohira, Futagawa, Kurata, Takei, Roneliton.
Kadi: Yamaguchi.
Magoli: Yamazaki 74, Endo 85 pen, Hashimoto 90.
Man Utd: Van der Sar, Neville, Ferdinand, Vidic (Evans 69), Evra, Nani, Anderson, Scholes (Fletcher 67), Ronaldo, Giggs, Tevez (Rooney 73).
Akiba hawakucheza: Kuszczak, Rafael Da Silva, O'Shea, Carrick, Gibson, Park, Welbeck, Amos.
Kadi: Rooney.
Magoli: Vidic 28, Ronaldo 45, Rooney 75, Fletcher 78, Rooney 79.
Watazamaji: 67,618
Refa: Benito Archundia Tellez (Mexico).

No comments:

Powered By Blogger