Tuesday 20 January 2009

TAKWIMU za LIGI KUU England: 5 BORA!

-WAFUNGAJI BORA:

Nikolas Anelka [Chesea] Magoli 14
Robinho [Man City] 11
Amr Zaki [Wigan] 10
Gabriel Agbonlahor [Aston Villa] 9
Frank Lampard [Chelsea] 9
Adebayor 8 [Pamoja na Cisse, Crouch, Defoe, Gerrard, Owen, Ronaldo na Van Persie]

-KADI NYEKUNDU:

Benot Assou-Ekotto [Tottenham] 2
Richard Dunne [Man City] 2
John Terry [Chelsea] 2
Adebayor [Arsenal] 1
Gareth Bale [Tottenham] 1

-KADI NJANO:

Marouane Fellaini [Everton] 10
Wilson Palacios [Wigan] 9
Lee Cattermole [Wigan] 8
Kevin Nolan [Bolton] 8
Alvaro Arbeloa [Liverpool] 7 [Pamoja na Ian Ashbee, Ricardo Fuller, Gavin McCann na Kieran Richardson]

-RAFU NYINGI:
Marouane Fellaini [Everton] 67
Kevin Davies [Bolton] 57
Carlton Cole [West Ham] 50
Bobby Zamora [Fulham] 47
Papa Bouba Diop [Portsmouth] 46


MECHI ZA KUANZIA WIKI HII MPAKA MWISHO WA MWEZI:

Leo na kesho usiku ni siku ambayo mechi za marudiano za Nusu Fainali za kugombea Kombe la Carling zitachezwa.
Hapo awali, wiki 2 zilizopita, Tottenham ilicheza nyumbani na Burnley na kushinda 4-1 na kesho watarudiana uwanjani kwa Burnley.
Derby County wakicheza kwao waliifunga Manchester United bao 1-0 katika Nusu Fainali nyingine na timu hizi zinarudiana leo usiku huko Old Trafford nyumbani kwa Man U.
Washindi wa Nusu Fainali hizo watakutana Fainali tarehe 1 Machi 2009.

Wikiendi hii kutakuwa hamna mechi za LIGI KUU na badala yake zinachezwa mechi za Raundi ya 4 ya Kombe la FA.

LIGI KUU England itarudi tena dimbani kuanzia tarehe 27 Januari 2009.

RATIBA KAMILI: [saa ni za kibongo]

NUSU FAINALI CARLING CUP: Mechi za marudiano

20 Januari 2009 [saa 5 usiku bongo taimu] Manchester United v Derby County
Mechi ya kwanza Derby 1 Manchester United 0

21 Januari 2009 [saa 4 dak 45 usiku bongo taimu] Burnley v Tottenham
Mechi ya kwanza Tottenham 4 Burnley 1

Fainali itachezwa Wembley Stadium tarehe 1 Machi 2009.

Jumamosi, 24 Januari 2009
Mechi za Kombe la FA [mechi zote saa 12 jioni isipokuwa zilizotajwa]

Chelsea v Ipswich
Cheltenham au Doncaster v Aston Villa
Hartlepool v West Ham [saa 9 dak 40]
Hull v Millwall
Kettering v Fulham
Man U v Tottenham [saa 2 na robo usiku]
Portsmouth v Swansea
Sheffield United v Charlton
Sunderland v Blackburn
Torquay v Coventry
Watford v Crystal Palace
West Brom v Burnley
Wolverhampton v Middlesbrough

Jumapili, 25 Januari 2009
Mechi za Kombe la FA

Cardiff v Arsenal [saa 10 na nusu jioni]
Liverpool v Everton [saa 1 usiku]

Jumanne, 27 Januari 2009
Mechi za LIGI KUU England

[saa 4 dak 45 usiku]
Sunderland v Fulham
West Brom v Man U

[saa 5 usiku]
Portsmouth v Aston Villa
Tottenham v Stoke

Jumatano, 28 Januari 2009
[saa 4 dak 45 usiku]

Chelsea v Middlesbrough
Man City v Newcastle
Wigan v Liverpool

[saa 5 usiku]
Blackburn v Bolton
Everton v Arsenal
West Ham v Hull

Jumapili, 31 Januari 2009
[saa 9 dak 45 mchana]

Stoke v Man City

[saa 12 jioni]
Arsenal v West Ham
Aston Villa v Wigan
Bolton v Tottenham
Fulham v Portsmouth
Hull v West Brom
Middlesbrough v Blackburn

Jumapili, 1 Februari 2009
[saa 10 na nusu jioni]

Newcastle v Sunderland

[saa 1 usiku]
Liverpool v Chelsea

Jumatatu, 2 Februari 2009

[saa 5 usiku]
Man U v Everton


No comments:

Powered By Blogger