Sunday 28 February 2010

LIGI KUU: Tottenham 2 Everton 1
Mabao mawili ya kipindi cha kwanza yaliyofungwa na Roman Pavlyuchenko na Luka Modric yamewapa ushindi Tottenham wa bao 2-1 wakiwa nyumbani White Hart Lane dhidi ya Everton.
Bao la Everton lilifungwa na Yakubu.
Ushindi wa leo umeifanya Tottenham ishike nafasi ya 4 ikiwa na pointi 49 kwa mechi 28 na Manchester City iko nyuma yao ikiwa na pointi sawa lakini wana tofauti ya magoli ndogo na wamecheza mechi moja pungufu.

No comments:

Powered By Blogger