Sunday 28 February 2010

WABABE SCOTLAND: Rangers 1 Celtic 0
Leo, Watoto wa Jiji la Glasgow na Wababe wa Scotland, Rangers na Celtic, walivaana kwenye Ligi ya Scotland na ni Rangers ndio waliibuka kidedea kwa ushindi wa bao 1-0, ushindi ambao umeipa Rangers uongozi wa pointi 10 mbele ya Celtic.
Celtic walipata pigo pale Nahodha wao Scott Brown alipopewa Kadi Nyekundu kwa kumpiga kichwa Lafferty wa Rangers.
Bao la ushindi la Rangers lilipatikana dakika ya 92 kilipotokea kizaazaa langoni mwa Celtic kufuatia kona na piga nikupige hiyo ikatua miguuni mwa Maurice Edu, alieanzia mechi hii benchi la akiba, ambae aliachia shuti hadi wavuni.
KWINGINEKO ULAYA: Matokeo
BUNDESLIGA
Ijumaa, Februari 26
Schalke 2 v Borussia Dortmund 1
Jumamosi, Februari 27
Mainz 05 1 v Werder Bremen 2
Hertha Berlin 0 v 1899 Hoffenheim 2
Bochum 0 v Nurnberg 0
Stuttgart 2 v Eintrancht Frankfurt 1
Borussia Moechengladbach 1 v Freiburg 1
Bayer Leverkusen 0 v Cologne 2
LA LIGA
Jumamosi, Februari 27
Barcelona 2 v Malaga 1
Getafe 0 v Real Zaragoza 2
Tenerife 1 v Real Madrid 5
SERIE A
Jumamosi, Februari 27
Catania 4 v Bari 0

No comments:

Powered By Blogger