Saturday 16 August 2008

LIGI KUU UINGEREZA YAANZA!!!
ARSENAL 1 WBA 0
Mchezaji mpya Samir Nasri alifunga goli katika dakika ya 4 tu ya mchezo na kuwapa Arsenal ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu iliyopanda daraja West Bromwich Albion katika mechi ya kwanza kabisa ya msimu mpya wa 2008/9.
Arsenal wakicheza nyumbani kwao Uwanja wa Emirates walitawala mchezo lakini walishindwa kupata mabao zaidi.

Mechi nyingine zinazochezwa leo zimeanza saa 11 jioni saa za bongo ni:

Bolton v Stoke

Everton v Blackburn

Hull v Fulham

West Ham v Wigan

Sunderland v Liverpool [SAA 1 NA NUSU USIKU]

No comments:

Powered By Blogger