Saturday 16 August 2008

TORRES AWAPA USHINDI LIVERPOOL
SUNDERLAND 0 LIVERPOOL 1
Katika mechi ambayo wapenzi wa Liverpool walisikitikia kiwango cha timu yao Fernando Torres aliwainua mioyo kwa kufunga dakika ya 83 na kuwapa ushindi wa bao 1-0!
Sunderland walipata nafasi nyingi lakini ubutu wao kwa kukosa mmaliziaji ndio uliowaua ingawa wachezaji wapya kama Diouf na Malbranque walicheza kufa na kupona.

TIMU ZILIKUWA:
Sunderland: Gordon, Chimbonda, Nosworthy, Collins, Bardsley, Malbranque (Edwards 73), Tainio (Whitehead 57), Reid, Richardson, Diouf (Chopra 81), Murphy.
Liverpool: Reina, Arbeloa, Carragher, Hyypia, Dossena, Kuyt, Gerrard, Plessis (Alonso 46), Benayoun (Aurelio 81), Keane (El Zhar 77), Torres.

No comments:

Powered By Blogger