Sunday 17 August 2008

SOKA OLYMPIC BEIJING 2008:
Nusu Fainali za Soka kwenye Olimpiki zitachezwa siku ya Jumanne kwa mechi baina ya Nigeria na Belgium na mechi nyingine ni ya watani wa jadi Brazil na Argentina.
Kwenye Robo Fainali jana Nigeria iliifunga Ivory Coast 2-0, Belgium ikaitoa Italy 3-2, Brazil iliifunga Cameroun 2-0 na Argentina waliwatoa Holland 2-1.
Fainali ni tarehe 23 Agosti 2008.

No comments:

Powered By Blogger