Sunday 17 August 2008

CHELSEA WAANZA KWA KISHINDO!
Wawashindilia Portsmouth 4-0!
Katika mechi yao ya kwanza ya msimu huu wa LIGI KUU na pia mechi ya kwanza kwa Meneja mpya Mbrazil Scolari Chelsea wametoa onyo kali pale walipowabamiza Mabingwa wa FA Portsmouth kwa mabao 4-0.
Mpaka haftaimu, Chelsea walikuwa mbele kwa bao 3-0 mabao yaliyofungwa na Joe Cole, Anelka na Frank Lampard.
Mreno Deco akicheza mechi yake ya kwanza ya LIGI KUU alifunga bao la nne.

No comments:

Powered By Blogger