
Nigeria wamewabamiza Belgium mabao 4-1 na kuingia Fainal

Katika Olympic za 1996 huko Atalanta, Marekani Nigeria walitwaa Medali ya Dhahabu baada kushinda Fainali ikiwa na akina Kanu.

Mchezaji wa Everton Victor Anichebe alitoa pande zuri kwa Chinedu Ogbuke Obasi aliepachika goli la pili, Obasi akafunga la tatu na Chibuzor Okonkwo akapachika la nne.
Laurent Ciman akapata bao la kufuta machozi kwa Belgium ambao bado wana nafasi ya kupata Medali ya Shaba kwani watakutana na timu itakayofungwa kati ya Brazil na Argentina kugombea medali hiyo.
No comments:
Post a Comment