Wednesday 23 December 2009

LIGI KUU England yaingia patamu!!! Mechi za Xmas, Boksingi Dei na Nyuu Iya kutoa fununu nani mbivu, nani mbichi!!!!
Wakati Chelsea bado kinara, Mabingwa Watetezi Manchester United wakisuasua na Difensi ya kuunga baada ya wote [isipokuwa Evra] kuumia, Arsenal akijikongoja licha ya Majeruhi ya Mastaa wao na Liverpool akipigwa nje ndani huku Timu 'zisizotegemewa' kama Villa, Spurs na Man City, kwa mnyato, zikileta upinzani usiotarajiwa, Ligi Kuu sasa inaingia kipindi cha Sikukuu za Xmas na Nyuu Iya ambacho kihistoria ndio hutoa fununu nani mwenye nafasi kubwa ya kuwa Bingwa na nani yumo hatarini kushushwa Daraja.
Miongoni mwa mechi kali zinazotarajiwa kuchezwa kipindi hiki ni zile kati ya Arsenal v Aston Villa [Desemba 27] na ile ya Aston Villa v Liverpool [Desemba 29].
MSIMAMO LIGI KUU England: [Timu zimecheza mechi 18 isipokuwa inapotajwa]
1 Chelsea pointi 41
2 Man Utd pointi 37
3 Arsenal pointi 35 [mechi 17]
4 Aston Villa pointi 35
5 Tottenham pointi 33
6 Man City pointi 29 [mechi 17]
7 Birmingham pointi 28
8 Liverpool pointi 27
9 Fulham pointi 26 [mechi 17]
10 Sunderland pointi 21
11 Stoke pointi 21 [mechi 17]
12 Wolves pointi 19
13 Blackburn pointi 19
14 Burnley pointi 19
15 Everton pointi 18 [mechi 17]
16 Wigan pointi 18 [mechi 17]
17 Hull pointi 17
18 Bolton pointi 16 [mechi 16]
19 West Ham pointi 15
20 Portsmouth pointi 14
RATIBA: [saa za bongo]
Jumamosi, 26 Desemba 2009
[saa 9 dak 45 mchana]
Birmingham v Chelsea
[saa 10 jioni]
Fulham v Tottenham
West Ham v Portsmouth
[saa 11 jioni]
Burnley v Bolton
[saa 12 jioni]
Man City v Stoke
Sunderland v Everton
Wigan v Blackburn
[saa 2 na nusu usiku]
Liverpool v Wolves
Jumapili, 27 Desemba 2009
[saa 10 na nusu jioni]
Arsenal v Aston Villa
[saa 1 usiku]
Hull v Man U
Jumatatu, 28 Desemba 2009
[saa 9 dak 45 mchana]
Tottenham v West Ham
[saa 12 jioni]
Blackburn v Sunderland
Chelsea v Fulham
Everton v Burnley
Stoke v Birmingham
[saa 4 dak 45 usiku]
Wolves v Man City
Jumanne, 29 Desemba 2009
[saa 4 dak 45 usiku]
Aston Villa v Liverpool
[saa 5 usiku]
Bolton v Hull
Jumatano, 30 Desemba 2009
[saa 4 dak 45 usiku]
Portsmouth v Arsenal
[saa 5 usiku]
Man U v Wigan
Jumanne, 5 Januari 2010
[saa 4 dak 45 usiku]
Stoke v Fulham
Jumatano, 6 Januari 2010
[saa 4 dak 45 usiku]
Arsenal v Bolton
Jumamosi, 9 Januari 2010
[saa 9 dak 45 mchana]
Hull v Chelsea
[saa 12 jioni]
Arsenal v Everton
Burnley v Stoke
Fulham v Portsmouth
Sunderland v Bolton
Wigan v Aston Villa
[saa 2 na nusu usiku]
Birmingham v Man U

No comments:

Powered By Blogger