Sunday 8 June 2008




Austria 0-1 Croatia
Kama ilivyokuwa jana kwa USWISI na leo yamewakuta wenyeji wenza AUSTRIA walipofungwa 1-0 kwa bao la penalti dakika 3 tu tangu kuanza mchezo.
AUSTRIA kama wenyeji wenzao USWISI walitawala mechi yote ila walishindwa kutikisa nyavu.

No comments:

Powered By Blogger