Thursday 12 June 2008


CHELSEA WAMTAJA SCOLARI MENEJA MPYA

Luis Felipe Scolari, ambae aliingoza Brazil kuwa Bingwa wa Dunia mwaka 2002 pia kuifikisha Ureno fainali ya EURO 2004 na ambae ameshashinda vikombe tisa na klabu mbalimbali huko kwao Brazil, ametajwa ndie Meneja mpya wa Brazil.
Mbrazil huyo mwenye miaka 59 anakuwa Meneja wa nne tangu mmiliki Roman Abramovich ainunue klabu. Waliotangulia na kutimuliwa ni Claudio Ranieri, Jose Mourinho na Avram Grant.

Ataanza kazi rasmi tarehe 1 Julai 2008.

No comments:

Powered By Blogger