Wednesday 11 June 2008

Czech Republic v Portugal






SAA: 1 USIKU KIWANJA: Stade de Geneve, Geneva.

Kipa wa Czech Petr Cech ambae pia huichezea Chelsea ametamka kwamba Timu yao ya Czech haina haja ya kumuogopa Winga Cristiano Ronaldo katika mechi yao leo ya KUNDI A.
'Ndio ni mchezaji bora, mmoja wa wazuri sana duniani, lakini peke yake hawezi kushinda chochote.'
'Kitu ambacho kiko wazi........' Aliongeza Cech. ' ......mshindi wa leo atakuwa na pointi sita na ni wazi ukiwa na pointi 6 utasonga mbele. '

No comments:

Powered By Blogger