Saturday 14 June 2008

KUNDI C: ni kweli KUNDI LA KIFO!

Netherlands 4-1 France

Italy 1-1 Romania

Uholanzi imeshajikita Robo Fainali huku Romania yenye pointi 2 iko mlangoni kuingia robo fainali wakati 'vizito' Italia na Ufaransa wakiwa na pointi moja kila mmoja wako hatarini kutolewa.

Endapo Romania ataifunga Uholanzi, timu ambayo itakuwa ikikamilisha ratiba tu, kwenye mechi ya mwisho basi mechi ya Italia na Ufaransa haina maana yeyote.
Pichani kipa wa Italia Buffon akiokoa penalti iliyopigwa na Adrian Mutu wa Italia na kuiwezesha Italia kutoka 1-1 na Romania.
MECHI ZA LEO:
KUNDI D
saa 1 usiku: SWEDEN vs SPAIN
saa 3.45 usiku: UGIRIKI vs URUSI

No comments:

Powered By Blogger