Sunday 8 June 2008




USWISI 0 CZECH 1
Wenyeji Uswisi walicheza vizuri sana katika mechi ya ufunguzi ya EURO 2008 lakini wakajikuta wakipoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Czech.
Bao la Czech lilifungwa na mchezaji alieingizwa kipindi cha pili Vaclav Sverkos katika dakika ya 70.
Uswisi walipata pigo pale Nahodha wao Alexander Frei alipoumia goti na hivyo atayakosa mashindano yote ya EURO 2008.
URENO 2 UTURUKI 0
Mabao ya kipindi cha pili yaliyofungwa na Pepe dakika ya 61 na la pili lililofungwa na Raul Mereiles katika dakika za majeruhi zimeipa mwanzo mzuri Ureno waliposhinda 2-0 dhidi ya Uturuki hapo jana.

Mechi zote hizo ni za jana ni KUNDI A.
MECHI ZA LEO:
saa 1 usiku: AUSTRIA vs CROATIA
uwanja: ERNST HAPPEL STADION, mjini Vienna, Austria.
Wenyeji wenza wa EURO 2008 AUSTRIA wanatua uwanjani leo kuumana na CROATIA. Hii ni mara ya kwanza kwa AUSTRIA kucheza fainali za Mataifa ya Ulaya wakati CROATIA ni timu yenye sifa kwa kuwa timu nzuri na ngumu.
VIKOSI:
AUSTRIA
Meneja: Josef Hickersberger
Kepteni: Andreas Ivanschitz

Alexander Manninger (AC Siena),Juergen Macho (AEK Athens), Ramazan Ozcan (TSG 1899 Hoffenheim), Gyorgy Garics (Napoli), Ronald Gercaliu (Austria Vienna), Martin Hiden (Kaernten), Markus Katzer (Rapid Vienna), Juergen Patocka (Rapid Vienna)Emmanuel Pogatetz (Middlesbrough), Sebastian Proedl (Sturm Graz), Martin Stranzl (Spartak Moscow), Rene Aufhauser (Salzburg), Christian Fuchs (Mattersburg) Andreas Ivanschitz (Panathinaikos), Umit Korkmaz (Rapid Vienna), Christoph Leitgeb (Salzburg), Juergen Saeumel (Sturm Graz), Joachim Standfest (Austria Vienna), Ivica Vastic (Linz), Erwin Hoffer (Rapid Vienna), Roman Kienast (Ham-Kam),Roland Linz (Braga), Martin Harnik (Werder Bremen)
CROATIA
Meneja: Slaven Bilic [Mlinzi wa zamani WEST HAM na EVERTON]
Kepteni: Niko Kovac
Stipe Pletikosa (Spartak Moscow), Vedran Runje (RC Lens), Mario Galinovic, (Panathinaikos), Vedran Corluka (Manchester City), Dario Simic (AC Milan)Robert Kovac (Borussia Dortmund), Josip Simunic (Hertha Berlin), Dario Knezevic (Livorno), Hrvoje Vejic (Tom Tomsk), Danijel Pranjic (Heerenveen), Darijo Srna (Shakhtar Donetsk), Niko Kovac (Salzburg), Luka Modric (Tottenham)Niko Kranjcar (Portsmouth), Jerko Leko (Monaco), Ivan Rakitic (Schalke 04)Ognjen Vukojevic (Dinamo Zagreb), Nikola Pokrivac (Monaco), Mladen Petric (Borussia Dortmund), Ivica Olic (Hamburg SV), Ivan Klasnic (Werder Bremen), Igor Budan (Parma)Nikola Kalinic (Hajduk Split

saa 3 dakika 45 usiku: UJERUMANI vs POLAND
uwanja: WORTHERSEE STADION, mjini KLAGENFURT, AUSTRIA
Wakati Ujerumani wanawania ubingwa wa nne wa Kombe la Ulaya, Poland hajawahi kuchukua hata mara moja.
Vilevile, Poland wameandamwa na majeruhi huku kipa wa MAN U Tomasz Kuszczak akijitoa kwenye kikosi baada ya kuumia uti wa mgongo siku ya Ijumaa.
VIKOSI:
GERMANY
Meneja: Joachim Low
Kepteni: Michael Ballack
Jens Lehmann (Arsenal), Robert Enke (Hanover 96), Rene Adler (Bayer Leverkusen)Christoph Metzelder (Real Madrid), Per Mertesacker (Werder Bremen), Philipp Lahm (Bayern Munich), Arne Friedrich (Hertha Berlin), Marcell Jansen (Bayern Munich), Clemens Fritz (Werder Bremen), Heiko Westermann (Schalke 04), Michael Ballack (Chelsea), Thomas Hitzlsperger (VfB Stuttgart), Simon Rolfes (Bayer Leverkusen), Torsten Frings (Werder Bremen), Bastian Schweinsteiger (Bayern Munich), Piotr Trochowski (Hamburg SV), Tim Borowski (Werder Bremen), David Odonkor (Real Betis), Miroslav Klose (Bayern Munich), Lukas Podolski (Bayern Munich), Mario Gomez (VfB Stuttgart), Kevin Kuranyi (Schalke 04), Oliver Neuville (Borussia Moenchengladbach)
POLAND
Meneja: Leo Beehakker
Kepteni: Maciej Zurawski
Artur Boruc (Celtic), Tomasz Kuszczak (Manchester United), Lukasz Fabianski (Arsenal), Marcin Wasilewski (Anderlecht), Pawel Golanski (Steaua Bukarest), Mariusz Jop (FC Moscow), Jacek Bak (Austria Vienna), Michal Zewlakow (Olympiakos), Adam Kokoszka (Wisla Krakow), Jakub Wawrzyniak (Legia Warsaw), Dariusz Dudka (Wisla Krakow), Michal Pazdan (Gornik Zabrze), Mariusz Lewandowski (Shakhtar Donetsk)Jakub Blaszczykowski (Borussia Dortmund), Rafal Murawski (Lech Poznan), Lukasz Gargula (GKS Belchatow), Jacek Krzynowek (VfL Wolfsburg), Roger Guerreiro (Legia Warsaw), Wojciech Lobodzinski (Wisla Krakow), Euzebiusz Smolarek (Racing Santander), Maciej Zurawski (Larissa), Marek Saganowski (Southampton), Tomasz Zahorski (Gornik Zabrze)
MECHI ZA KESHO
saa 1 usiku: ROMANIA vs UFARANSA
saa 3 dakika 45: UHOLANZI vs ITALIA

No comments:

Powered By Blogger