Saturday 7 June 2008


EURO 2008 INAANZA LEO SAA 1 USIKU:
Wenyeji USWISI kuwavaa CZECH!
Mashindano ya 13 ya kuwania Kombe la Mataifa ya Ulaya ambayo mwaka huu yanachezwa katika nchi mbili zinazopakana, Switzerland na Austria, safari hii yakiitwa EURO 2008, yanaanza leo SAA 1 USIKU kwa mechi baina ya wenyeji USWISI na CZECH kwenye Uwanja wa ST JAKOB-PARK, mjini Basel, Uswisi.
Timu hizi zimeshawahi kupambana mara 30 hapo nyuma huku Czech wakishinda mara 16 na Uswisi mara 8.
Vikosi vya kila timu ni kama ifuatavyo:
SWITZERLAND
Meneja: Jakob ‘Kobi’ Kuhn
Kepteni: Alexander Frei
Diego Benaglio (Wolfsburg), Pascal Zuberbuehler (Neuchatel Xamax), Eldin Jakupovic (Grasshoppers Zurich), Ludovic Magnin (Stuttgart), Christoph Spycher (Eintracht Frankfurt), Philippe Senderos (Arsenal), Patrick Mueller (Olympique Lyon), Johan Djourou (Arsenal), Stephane Grichting (Auxerre), Philipp Degen (Borussia Dortmund)Stephan Lichtsteiner (Lille), Valon Behrami (Lazio), Gokhan Inler (Udinese)Gelson Fernandes (Manchester City), Benjamin Huggel (Basel), Tranquillo Barnetta (Bayer Leverkusen), Hakan Yakin (Young Boys Berne), Ricardo Cabanas (Grasshoppers Zurich), Johan Vonlanthen (Salzburg), Daniel Gygax (Metz), Alex Frei (Borussia Dortmund), Marco Streller (Basel), Eren Derdiyok (Basel
CZECH
Meneja: Karel Bruckner
Kepteni: Nafasi tupu baada ya Kepteni wao Tomas Rosicky [mchezaji wa ARSENAL kuumia]
Petr Cech (Chelsea), Jaromir Blazek (Nuremberg), Daniel Zitka (Anderlecht), Zdenek Grygera (Juventus), Marek Jankulovski (AC Milan), Michal Kadlec (Sparta Prague)Zdenek Pospech (Copenhagen), David Rozehnal (Lazio), Rudi Skacel (Southampton)Tomas Ujfalusi (Fiorentina), Tomas Galasek (Nuremberg), David Jarolim (Hamburg)Radoslav Kovac (Spartak Moscow), Marek Matejovsky (Reading), Jaroslav Plasil (Osasuna), Jan Polak (Anderlecht), Tomas Sivok (Sparta Prague), Milan Baros (Lyon), Martin Fenin (Frankfurt), Jan Koller (Nuremberg), Libor Sionko (Copenhagen), Vaclav Sverkos (Banik Ostrava), Stanislav Vlcek (Anderlecht)
MECHI YA PILI LEO JUMAMOSI 7 JUNI 2008 ni SAA 3 DAKIKA 45 [SAA ZA BONGO]:
URENO VS UTURUKI
Uwanja wa STADE DE GENEVE, mjini Geneva, Uswisi
VIKOSI:
PORTUGAL
Meneja: Luiz Felipe Scolari
Kepteni: Hawana Kepteni ingawa Cristiano Ronaldo anatajwatajwa.
Ricardo Pereira (Real Betis), Quim Silva (Benfica), Rui Patricio (Sporting), Miguel Monteiro (Valencia), Jose Bosingwa (Porto, anajiunga Chelsea msimu ujao), Paulo Ferreira (Chelsea), Ricardo Carvalho (Chelsea), Fernando Meira (VfB Stuttgart), Bruno Alves (Porto), Pepe (Real Madrid), Jorge Ribeiro (Boavista), Raul Meireles (Porto), Joao Moutinho (Sporting), Deco (Barcelona), Armando Petit (Benfica), Miguel Veloso (Sporting), Cristiano Ronaldo (Manchester United), Simao Sabrosa (Atletico Madrid)Ricardo Quaresma (Porto), Nuno Gomes (Benfica), Hugo Almeida (Werder Bremen)Nani (Manchester United), Helder Postiga (Panathinaikos
TURKEY
Meneja: Fatih Terim
Kepteni: EmreVolkan Demirel (Fenerbahce), Rustu Recber (Besiktas), Tolga Zengin (Trabzonspor)Sabri Sarioglu (Galatasaray), Gokhan Zan (Besiktas), Emre Asik (Ankaraspor), Servet Cetin (Galatasaray), Hakan Kadir Balta (Galatasaray), Ugur Boral (Fenerbahce), Emre Gungor (Galatasaray), Mehmet Aurelio (Fenerbahce), Mehmet Topal (Galatasaray)Emre Belozoglu (Newcastle United), Tumer Metin (Larissa), Hamit Altintop (Bayern Munich), Ayhan Akman (Galatasaray), Arda Turan (Galatasaray), Tuncay Sanli (Middlesbrough), Kazim Kazim (Fenerbahce), Gokdeniz Karadeniz (Rubin Kazan)Nihat Kahveci (Villarreal), Semih Senturk (Fenerbahce), Mevlut Erdinc (Sochaux
MECHI ZA KESHO JUMAPILI 8 JUNI 2008:
Austria v Croatia Vienna, SAA 1 USIKU
Germany v Poland Klagenfurt, SAA 3.45 USIKU


No comments:

Powered By Blogger