Friday 6 June 2008

SAKATA LA RONALDO!

Rio - Ronaldo lazima abaki

Rio Ferdinand ambae katika kipindi cha kuelekea mwisho wa msimu alikuwa ndie Nahodha wa Manchester United amemtaka Cristiano Ronaldo abaki MAN U na akatamka:' Timu hii itakuwa bora lakini lazima tuwe pamoja. Tumefanya kazi kwa bidii kufika hapa na tunataka kujenga mafanikio tulopata. Maana yake ni tubaki na wachezaji wetu walewale.'

No comments:

Powered By Blogger