Friday 6 June 2008


KINDUMBWENDUMBWE KESHO KINAANZA!
Saa moja usiku kesho mjini Basel, Switzerland, wenyeji SWITZERLAND watafungua pazia la UBINGWA WA MATAIFA YA ULAYA yaitwayo EURO2008 kwa kupambana na CZECH katika Uwanja wa ST JAKOB-PARK.

Baadae SAA 3 DAKIKA 45 usiku huo huo mjini Geneva katika Uwanja wa STADE DE GENEVE, URENO watapambana na UTURUKI.

Mechi zote hizi mbili za ufunguzi ni za la KUNDI A.

No comments:

Powered By Blogger