Thursday 12 June 2008

Rooney afunga ndoa Italy


Mchezaji wa MAN U Wayne Rooney amemuoa kipenzi chake cha tangu utotoni Coleen McLoughlin huko mjini Portofino, Italy hapo jana katika sherehe fupi, ndogo na iliyohusisha familia tu.

Mume na mke, wote wenye umri wa miaka 22, walikutana kwa mara ya kwanza wakiwa na miaka 12 na uhusiano wao kimahaba ulianza wakiwa na miaka 16 huko Liverpool ambako wote ndio walikulia.






No comments:

Powered By Blogger