Thursday 12 June 2008


KUNDI A:
URENO IKO ROBO FAINALI

CZECH 1 URENO 3

Christiano Ronaldo alipachika bao moja na kutengeneza jingine na kuiwezesha timu yake kuwa ya kwanza kutinga robo fainali baada ya ushindi wa bao 3-1 dhidi ya Czech.

USWISI 1 UTURUKI 2

Wenyeji Uswisi, licha ya kuongoza kwa bao moja, wajikuta wakipigwa 2-1 na Uturuki na hivyo kuwa timu ya kwanza kutolewa nje ya mashindano.

No comments:

Powered By Blogger