Monday 27 October 2008


LIGI KUU UINGEREZA itaendelea kesho usiku kwa mechi moja na Jumatano timu zote nyingine zitacheza.
Kuanzia Jumapili taimu huko Uingereza imebadilika na hivyo tofauti ya wakati kati ya bongo na huko sasa inakuwa masaa matatu kufuatia kuingia majira ya baridi.
Hivyo mtaona tofauti katika taimu mechi zinapochezwa.
Tulizoea kuona mechi zinaanza saa 3 dakika 45 usiku lakini sasa zitaanza saa 4 dakika 45 usiku na zile za mchana badala ya kuanza saa 11 jioni bongo taimu sasa zitaanza saa 12 jioni.

Jumanne, 28 Oktoba 2008

Newcastle v West Brom [saa 4 dakika 45 usiku]

Jumatano, 29 Oktoba 2008

[saa 4 dakika 45 usiku]

Aston Villa v Blackburn

Hull City v Chelsea

Stoke City v Sunderland

[saa 5 usiku]

Arsenal v Tottenham

Bolton v Everton

Fulham v Wigan

Liverpool v Portsmouth

Man U v West Ham

Middlesbrough v Man City

No comments:

Powered By Blogger