Tuesday 12 May 2009

MECHI KUBWA ULAYA KESHO: Huko Spain Fainali ya Kombe la Mfalme- Barcelona v Athletic de Bilbao na Italia ni Fainali Kombe la Italia- SS Lazio v Sampdoria!!!!!

Huko Spain na Italy kesho ni Fainali ya Vikombe sawa na kile FA CUP cha England wakati Barcelona atakapokumbana na Athletic de Bilbao saa 4 usiku saa za bongo kugombea SPAIN COPA DEL REY, yaani Kombe la Mfalme.

Na huko Italia ni mechi ya Fainali ya Kombe la Italia kati ya SS Lazio na Sampdoria pambano litakaloanza saa 3 dakika 45 usiku saa za bongo.

No comments:

Powered By Blogger