Thursday 29 October 2009

FIFA U-17 WORLD CUP NIGERIA 2009
Mashindano ya kugombea Kombe la Dunia kwa Vijana Chini ya Miaka 17 yananguruma katika Miji mbalimbali huko Nigeria na yalianza rasmi Oktoba 24 kwa Wenyeji Nigeria, ambao ndio Mabingwa Watetezi wa Kombe hili walipolinyakua huko Korea mwaka 2007, kutoka suluhu 3-3 na Ujerumani.
Mataifa 24 yamo kwenye Fainali hizo na yamegawanywa katika Makundi 6 ya Nchi nne nne na Timu 2 za juu toka kila Kundi zitaingia Raundi ya Pili moja kwa moja na zitajumuika na Timu 4 zitakazomaliza nafasi za 3 Bora katika Makundi hayo 6 kufanya jumla ya Timu 16 zinazoingia Raundi ya Pili.
Fainali itachezwa Novemba 15.
MATOKEO NA RATIBA:
KUNDI A
24/10/09 Nigeria 3 Germany 3
24/10/09 Honduras 0 Argentina 1
27/10/09 Nigeria 1 Honduras 0
27/10/09 Argentina 2 Germany 1
30/10/09 Germany v Honduras
30/10/09 Argentina v Nigeria
KUNDI B
24/10/09 Brazil 3 Japan 2
24/10/09 Mexico 0 Switzerland 2
27/10/09 Switzerland 4 Japan 3
27/10/09 Brazil 0 v Mexico 1
30/10/09 Japan v Mexico
30/10/09 Switzerland v Brazil
KUNDI C
25/10/09 Iran 2 Gambia 0
25/10/09 Colombia 2 Netherlands 1
28/10/09 Netherlands 2 Gambia 1
28/10/09 Iran 0 Colombia 0
31/10/09 Gambia v Colombia
31/10/09 Netherlands v Iran
KUNDI D
25/10/09 Turkey 1 Burkina Faso 0
25/10/09 Costa Rica 1 New Zealand 1
28/10/09 New Zealand 1 Burkina Faso 1
29/10/09 Turkey v Costa Rica
31/10/09 Burkina Faso v Costa Rica
31/10/09 New Zealand v Turkey
KUNDI E
26/10/09 UAE 2 Malawi 0
26/10/09 Spain 2 USA 1
29/10/09 USA V Malawi
29/10/09 UAE v Spain
1/11/09 Malawi v Spain
1/11/09 UAE v USA
KUNDI F
26/10/09 Uruguay 1 Korea Republic 3
26/10/09 Algeria 0 Italy 1
29/10/09 Italy v Korea Republic
29/10/09 Uruguay v Algeria
1/11/09 Korea Republic v Algeria
1/11/09 Italy v Uruguay

No comments:

Powered By Blogger