Sunday 24 August 2008

LEO MAN CITY WAIBUKA!
washinda 3-0 nyumbani!!!!!
Baada ya kubandikwa magoli 4-2 wiki iliyokwisha walipocheza nyumbani kwa Aston Villa leo Manchester City wameibuka wakiwa uwanjani kwao City of Manchester Stadium na kuwatandika West Ham mabao 4-2.
Ushindi huu umesaidiwa sana na kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa West Ham Mark Nobles kipindi cha kwanza ingawa mpaka mwisho wa kipindi hicho bado mechi ilikuwa suluhu.
Katika kipindi cha pili Man City walipata bao la kwanza kupitia Daniel Sturridge na bao la pili na la tatu yalifungwa na Mbrazil Elano.

No comments:

Powered By Blogger