Tuesday 26 August 2008

MABINGWA MAN U WASHINDA!!
portsmouth 0 man u 1
Darren Fletcher katika mechi ya pili mfululizo ndie mkombozi wa Man U baada ya kufunga bao la ushindi katika dakika ya 32 kwenye Uwanja wa Fratton Park nyumbani kwa Portsmouth.
Hiki ni kipigo cha pili mfululizo kwa Portsmouth.
Wiki iliyopita walipachikwa 4-0 na Chelsea huko Stamford Bridge.
Huu ni ushindi wa kwanza kwa Mabingwa wa LIGI KUU kwani wiki iliyopita walilazimishwa sare ya 1-1 na Newcastle uwanjani kwao Old Trafford.
Timu zilikuwa:
Portsmouth:
James, Kaboul, Campbell, Distin, Johnson, Diop, Davis (Utaka 66), Diarra, Armand Traore (Thomas 56), Crouch, Defoe.
AKIBA: Ashdown, Lauren, Hreidarsson, Mvuemba, Sahar.
KADI: Diop, Defoe.
Man Utd:
Van der Sar, Brown, Ferdinand, Vidic, O'Shea, Fletcher, Anderson (Possebon 76), Scholes, Evra, Rooney, Tevez.
AKIBA: Kuszczak, Neville, Fabio Da Silva, Rafael Da Silva, Gibson, Campbell.
KADI: Brown, Fletcher.
WATAZAMAJI: 20,540
REFA: Chris Foy (Merseyside).

No comments:

Powered By Blogger