Thursday 28 August 2008


UEFA CHAMPIONS LEAGUE: DROO YA MAKUNDI LEO!
-WACHEZAJI BORA KUJULIKANA LEO PIA!!!
Leo saa moja usiku kutakuwepo na droo maalum ili kuzipanga Klabu 32 za Ulaya katika Makundi manane ya timu nne nne ili timu zicheze mtindo wa ligi ambayo itaanza kuchezwa tarehe 16 Septemba na kumalizika tarehe 10 Desemba.
Timu hizo 32 zimegawanywa katika Makapu manne ili kutenganisha timu ngumu na za nchi moja zisiwe katika kundi moja.
Hivyo timu za kapu moja haziwezi kuwa kundi moja.
Vilevile leo ndio atapatika MCHEZAJI BORA WA KLABU WA MSIMU WA 2007/8.
KAPU LA KWANZA
MANCHESTER UNITED
CHELSEA
LIVERPOOL
Barcelona
ARSENAL
Lyon
Inter Milan
Real Madrid
KAPU LA PILI
Bayern Munich
PSV Eindhoven
Villarreal
AS Roma
FC Porto
Werder Bremen
Sporting Lisbon
Juventus
KAPU LA TATU
Marseille
Zenit St Petersburg
Steaua Bucharest
Panathinaikos
Bordeaux
CELTIC
Basel
Fenerbahce
KAPU LA NNE
Shakhtar Donetsk
Fiorentina
Atletico Madrid
Dynamo Kiev
CFR Cluj
Aalborg
Anorthosis Famagusta
Bate Borisov
MECHI ZITACHEZWA TAREHE:
16/17 September
30 September/1 October
21/22 October
4/5 November
25/26 November
9/10 December

No comments:

Powered By Blogger