Sunday 4 October 2009

Arsenal 6 Blackburn 2
Leo Arsenal imeibamiza Blackburn Rovers mabao 6-2 katika mechi ya Ligi Kuu England iliyochezwa Uwanja wa Emirates.
Hadi mapumziko Arsenal walikuwa mbele kwa mabao 3-2.
Mabao ya Arsenal yalifungwa na Vermaelen dakika ya 17, Van Persie dakika ya 33, Arshavin, 37, Fabregas 57, Walcott 75 na Bendtner, 89.
Mabao ya Blackburn yalifungwa na Nzonzi dakika ya 4 na David Dunn dakika ya 30.
Kwa ushindi wa leo Arsenal wako nafasi ya 4 wakiwa na pointi 15 kwa mechi 7.

No comments:

Powered By Blogger