Tuesday 6 October 2009

LIGI KUU ENGLAND: Kusimama hadi Oktoba 17 kupisha Mechi za Kimataifa za Kombe la Dunia
Ligi Kuu itasimama baada ya mechi yaJumatatu baina ya Aston Villa v Man City ili kuruhusu Mechi za Kimataifa za kuwania nafasi za kuingia Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini mwaka 2010.
Mechi hizo za Kimataifa za Nchi mbalimbali zinatarajiwa kuchezwa wikiendi ya Oktoba 10 na katikati ya wiki yaani Jumatano Oktoba 14.
Ligi Kuu itarudia tena Jumamosi Oktoba 17 na Ratiba ni kama ifuatavywo:
Jumamosi, Oktoba 17
Aston Villa v Chelsea [saa 8 na dak 45 mchana]
[saa 11 jioni]
Arsenal v Birmingham
Everton v Wolverhampton
Man United v Bolton
Portsmouth v Tottenham
Soke City v West Ham
Sunderland v Liverpool
Jumapili, Oktoba 18
[saa 9 mchana]
Blackburn v Burnley
Wigan v Man City
Jumatatu, Oktoba 19
[saa 4 usiku]
Fulham v Hull City
KOMBE LA DUNIA
Afrika:
Oktoba 10:
Zambia v Egypt
Malawi v Ivory Coast
Cameroun v Togo
Gabon v Morocco
Oktoba 11:
Benin v Ghana
Nigeria v Mozambique
Tunisia v Kenya
Guinea v Burkina Faso
Mali v Sudan
Algeria v Rwanda
Ulaya:
Oktoba 10:
Finland v Wales
Luxemborg v Switzerland
Belarus v Kazakhstan
Russia v Germany
Estonia v Bosnia-Herzegovina
Montenegro v Georgia
Ukraine v England
Denmark v Sweden
Liechtenstein v Azerbaijan
Republic of Ireland v Italy
Czech Republic v Poland
Slovakia v Slovenia
Austria v Lithuania
Serbia v Romania
Portugal v Hungary
Belgium v Turkey
Israel v Moldova
Armenia v Spain
France v Faroe Islands
Greece v Latvia
Marekani ya Kusini:
Oktoba 11:
Colombia v Chile
Ecuador v Uruguay
Venezuela v Paraguay
Argentina v Peru
Bolivia v Brazil
Oktoba 14:
Peru v Bolivia
Paraguay v Colombia
Brazil v Venezuela
Chile v Ecuador
Uruguay v Argentina
LIGI KUU ENGLAND: Aston Villa 1 Man City 1
Wenye mechi pekee ya Ligi Kuu iliyochezwa Villa Park, Wenyeji Aston Villa na Manchester City zilitoka suluhu ya bao 1-1.
Mpaka hafutaimu, Villa walikuwa mbele kwa bao 1-0 Mfungaji akiwa Richard Dunne kwa kichwa baada ya kona.
Dunne alikuwa Mchezaji na Nahodha wa Man City kabla ya kuhamia Villa msimu huu.
Kipindi cha pili Man City walisawazisha kupitia Craig Bellamy baada ya pasi ya Adebayor.

No comments:

Powered By Blogger