Wednesday 15 September 2010

Valencia kuukosa Msimu wote!
Winga wa Manchester United Antonio Valencia kutoka Ecuador atakuwa nje kwa Msimu mzima baada ya kuumia enka jana katika mechi ya UEFA CHAMPIONS LIGI kati ya Man United na Rangers. Ilitegemewa leo atafanyiwa upasuaji wa enka baada ya kuthibitika enka hiyo imevunjika.
Man United ilitoka sare 0-0 na Rangers Uwanjani Old Trafford.
UEFA CHAMPIONS LIGI:
RATIBA MECHI ZA LEO:
Jumatano, Septemba 15
KUNDI E
FC Bayern Munchen v AS Roma
CFR 1907 Clu v FC Basel 1893
KUNDI F
Olympique de Marseille v FC Spartak Moskva
MSK Zilina v Chelsea FC
KUNDI G
Real Madrid CF v AFC Ajax
AC Milan v AJ Auxerre
KUNDI H
Arsenal FC v SC Braga
FC Shakhtar Donetsk v FK Partizan
MATOKEO MECHI ZA JANA:
Jumanne, Septemba 14
KUNDI A
FC Twente FC 2 Inter Milan 2
SV Werder Bremen 2 Tottenham Hotspur FC 2
KUNDI B
Olympique Lyonnais 1 FC Schalke 0
SL Benfica 2 Hapoel Tel-Aviv FC 0
KUNDI C
Manchester United FC 0 Rangers FC 0
Bursaspor 0 Valencia CF 4
KUNDI D
FC Barcelona 5 Panathinaikos FC 1
FC Kobenhavn 1 FC Rubin Kazan 0

No comments:

Powered By Blogger