Sunday 3 August 2008


Mshambuliaji wa Misri atua UINGEREZA kwa KISHINDO
Mshambuliaji wa Zamalek na Timu ya Taifa ya Misri Amr Zaki ameanza kuichezea Timu ya Wigan iliyo LIGI KUU UINGEREZA kwa nyota njema baada ya kufunga goli la tatu na la ushindi walipoifunga SHEFFIELD UNITED 3-2 katika mechi ya kirafiki.
Amr Zaki yuko WIGAN kwa mkopo kutoka ZAMALEK ya Misri.

No comments:

Powered By Blogger