Thursday 16 October 2008

KOMBE LA DUNIA AFRIKA KUSINI 2010: ROONEY AIPA USHINDI ENGLAND!
Belarus 1 England 3

Wayne Rooney alipachika mabao 2-0 katika ushindi wa mabao 3-1 England walioupata mjini Minsk, Belarus katika mechi ya mitoano ya kutafuta Nchi zitakazoingia FAINALI KOMBE LA DUNIA AFRIKA KUSINI mwaka 2010.
Huu ni ushindi wa nne kwa England katika Kundi lake la 6 baada ya kuzifunga Andorra 2-0, Croatia 4-1, Kzakhstan 5-1.
England ilipata bao la kwanza kupitia Kiungo anaepondwa sana akichezea England, Steven Gerrard, katika dakika ya 11 baada ya pasi safi ya Wayne Rooney.
Belarus walisawazisha kabala ya hafutaimu.
Kipindi cha pili Wayne Rooney akapachika mabao mawili dakika za 50 na 74.

Belarus: Zhevnov, Verkhovtsov, Filipenko, Omelyanchuk, Molosh, Kulchy, Sitko, Putsilo (Rodionov 67), Stasevich (Viacheslav Hleb 90), Kutuzov (Strakhanovich 77), Bulyga. AKIBA: Veremko, Korytko, Pavlov, Sosnovskiy.
KADI: Putsilo.
GOLI: Sitko 28.
England: James, Brown, Ferdinand, Upson, Bridge, Barry, Lampard, Gerrard, Walcott (Wright-Phillips 68), Rooney (Beckham 87), Heskey (Crouch 70). AKIBA: Carson, Johnson, Lescott, Defoe.
MAGOLIs: Gerrard 11, Rooney 50, 74.
WATAZAMAJI: 32,000.
REFA: Terje Hauge (Norway).
MATOKEO MENGINE:
ULAYA
Russia 3 Finland 0
Czech 1 Slovenia 0
Norway 0 Holland 1
Croatia 4 Andorra 0
Germany 1 Wales 0
Italy 2 Montenegro 0
Portugal 0 Albania 0
MAREKANI YA KUSINI
Paraguay 1 Peru 0
Chile 1 Argentina 0
Brazil 0 Colombia 0
Venezuela 3 Ecuador 0

No comments:

Powered By Blogger