Saturday 18 October 2008

MABINGWA Man U 4 West Brom 0

Kisago cha kipindi cha pili cha mchezo kimewafanya West Bromwich Albion wabugia mabao manne baada ya kujihami vizuri kipindi chote cha kwanza ingawa Refa Mark Halsey alilikataa bao la wazi la Wayne Rooney kipindi hicho.
Hadi mapumziko 0-0.
Kipindi cha pili Rooney alipata bao la kwanza, Ronaldo la pili, Berbatov la tatu na Nani akashindilia la nne.

No comments:

Powered By Blogger