Thursday 16 October 2008

RATIBA YA WIKIENDI HII NA WIKI IJAYO
Baada ya hekaheka zilizotanda dunia nzima za mitoano ya kutafuta Nchi zitakazoingia FAINALI KOMBE LA DUNIA huko AFRIKA KUSINI mwaka 2010, sasa tunarudi kwenye michuano ya Vilabu na macho yetu yako kwenye LIGI KUU UINGEREZA kwa mechi zitakazochezwa wikiendi hii pamoja na mechi za UEFA CHAMPIONS LEAGUE za Jumanne na Jumatano ijayo:
Ratiba ni kama ifuatavywo:

LIGI KUU UINGEREZA

JUMAMOSI, 18 Oktoba 2008

Middlesbrough v Chelsea [saa 8 dak 45 mchana saa za bongo]

Arsenal v Everton [saa 11 jioni]

Aston Villa v Portsmouth

Bolton v Blackburn

Liverpool v Wigan

Fulham v Sunderland

Man United v West Brom [saa 1 na nusu usiku]

JUMAPILI, 19 Oktoba 2008

Hull City v West Ham [saa 12 jioni]

Stoke City v Tottenham [saa 1 usiku]

JUMATATU, 20 Oktoba 2008

Newcastle v Man City [saa 5 usiku]

UEFA CHAMPIONS LEAGUE

JUMANNE, 21 October 2008


[Saa 4 dak 45 usiku]

Bayern Munich v Fiorentina,

FC Porto v Dynamo Kiev,

Fenerbahce v Arsenal,

Juventus v Real Madrid,

Man United v Celtic,

Steaua Bucuresti v Lyon,

Villarreal v AaB, Gp E,

Zenit St Petersburg v BATE, Gp H, [Saa 2 na nusu usiku]

JUMATANO, 22 October 2008

[Saa 4 dak 45 usiku]

Atletico Madrid v Liverpool,

Basle v Barcelona,

Bordeaux v CFR Cluj-Napoca,

Chelsea v Roma,

Inter Milan v Anorthosis Famagusta,

Panathinaikos v Werder Bremen,

PSV v Marseille,

Shakhtar Donetsk v Sporting,




No comments:

Powered By Blogger