Ghana

Nchi nyingine inayonyemelea kujiunga na Ghana ni Ivory Coast, ambao juzi waliikung’uta Burkina Faso 5-0, na sasa wanahitaji pointi moja tu kutinga Fainali.
Afrika kuna Makundi matano na Mshindi wa kila Kundi ndie atacheza Fainali huko Afrika Kusini wakati Timu 3 za juu kila Kundi zitacheza Kombe la Mataifa ya Afrika huko Angola mwakani.
MATOKEO KOMBE LA DUNIA:
MECHI ZA: Jumapili Septemba 6,
Togo 1 v Morocco 1
Mozambique 1 v Kenya 0
Nigeria 2 v Tunisia 2
Algeria 1 v Zambia 0
Ghana 2 v Sudan 0
Benin 1 v Mali 1
No comments:
Post a Comment